Polisi

Polisi (kutoka neno la Kiingereza police lilikopwa kutoka Kifaransa police ambalo awali lilikuwa la Kilatini politia, na kabla yake tena la Kigiriki πολιτεία, politeia, uraia, usimamizi, ustaarabu wa mjini.

Msingi ni neno πόλις, polis, "mji".) ni idara ya serikali ambayo lengo lake ni kutekeleza sheria za nchi, kulinda mali kudumisha usalama na kupunguza vurugu, kutokomeza vifo visivyokuwa vya lazima, pamoja na kuokoa mali.

Polisi
Askari polisi wa Ujerumani.

Polisi pekee inaruhusiwa kutumia nguvu katika jamii.

Kwa kawaida polisi hutofautiana na wanajeshi ambao kazi yao ni kulinda nchi dhidi ya wavamizi kutoka nje.

Mara nyingi polisi wanajulikana kuathiriwa na ufisadi kwa kiasi tofautitofauti.

Tanbihi

Tags:

IdaraKifaransaKigirikiKiingerezaKilatiniMaliNenoSerikaliSheria

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Tanganyika (maana)UfahamuFutiBendera ya TanzaniaJay MelodyHaitiTambikoKitabu cha Yoshua bin SiraKumaLahajaHoma ya mafuaMajira ya mvuaNungununguMkoa wa MwanzaAl Ahly SCUnyenyekevuFrederick SumayeBikira MariaInjili ya MathayoWaluguruWarakaKisiwaAbedi Amani KarumeInstagramTarakilishiMofimuMethaliBinadamuHistoriaMatumizi ya lugha ya KiswahiliKanisa KatolikiUandishiSamia Suluhu HassanZambiaHistoria ya ZanzibarIfakaraBendera ya KenyaMwandishiHomoniChakulaTenziJipuMkwawaMkoa wa MbeyaLady Jay DeeUkoloniMbeya (mji)AustraliaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaSakramentiMbuniOrodha ya milima mirefu dunianiFatma KarumeUbongoYordaniMbossoChama cha Kijamaa-Kidemokrasia cha UjerumaniRushwaKenyaJeshiAli KibaSitiariMazingiraAfrika ya MasharikiTreniMadhara ya kuvuta sigaraHekaya za AbunuwasiWikipediaJinaLigi ya Mabingwa AfrikaUsafi wa mazingiraNyanda za Juu za Kusini TanzaniaCAF🡆 More