Río Paraná (mto Parana) ni mto mrefu wa pili wa Amerika Kusini.
Chanzo kipo nchini Brazil kwenye bwawa la Ilha Solteira inapokutana mito ya Paranaíba na Rio Grande.
Río Paraná | |
---|---|
Chanzo | Bwawa la Ilha Solteira (Brazil) inapokutana mito ya Paranaíba na Rio Grande |
Mdomo | Rio Plata |
Nchi | Brazil, Argentina, Paraguay |
Urefu | 4,000 km |
Kimo cha chanzo | 1,148 m |
Tawimito | Paranaiba, Rio Grande (Brazil), Iguazo, |
Mkondo | 16,800 m³/s |
Eneo la beseni | 2,582,672 km² |
Idadi ya watu wanaokalia beseni | milioni 59 |
Miji mikubwa kando lake | Ciudad del Este, Foz do Iguaçu (Brazil), Posadas, Santa Fe (Argentina), Parana |
Inapotoka katika eneo la Brazil unakuwa mpaka kati ya Brazil na Paraguay, baadaye kati ya Paraguay na Argentina.
Kilomita 500 km za mwisho unapita Argentina na kukutana na Río Uruguay halafu kuingia pamoja naye katika Rio de la Plata.
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Parana (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Parana (mto), which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.