Orodha ya miji ya Eritrea inaonyesha miji yote nchini Eritrea yenye wakazi zaidi ya 5,000.
Rundiko kubwa nchini ni mji mkuu Asmara ambayo pamoja na mapambizo yake ilikuwa na wakazi zaidi ya milioni moja. Hivyo ni takriban robo moja ya wananchi wote wanaoishi katika mazingira ya mji mkuu.
Miji nchini Eritrea | |||||
---|---|---|---|---|---|
Na. | Mji | Idadi ya wakazi | Mkoa | ||
Sensa ya 1984 | makadirio ya 2010 | ||||
1 | Asmara | 475,385 | 649,707 | Kati | |
2 | Keren | 126,149 | 146,483 | Anseba | |
3 | Teseney | 52,531 | 64,889 | Gash-Barka | |
4 | Mendefera | 22,184 | 63,492 | Debub | |
5 | Agordat | 15,948 | 47,482 | Gash-Barka | |
6 | Assab | 31,037 | 39,656 | Bahari Nyekundu Kusini | |
7 | Massawa | 15,441 | 36,700 | Bahari Nyekundu Kaskazini | |
8 | Adi Quala | 14,465 | 34,589 | Debub | |
9 | Senafe | 14,019 | 31,831 | Debub | |
10 | Dekemhare | 17,290 | 31,000 | Debub | |
11 | Segheneyti | 13,328 | 27,656 | Debub | |
12 | Nakfa | N/A | 20,222 | Bahari Nyekundu ya Kaskazini | |
13 | Adi Keyh | 8,691 | 19,304 | Debub | |
14 | Barentu | 2,541 | 15,467 | Gash-Barka | |
15 | Beilul | N/A | 14,055 | Bahari Nyekundu Kusini | |
16 | Ed | N/A | 12,855 | Bahari Nyekundu Kusini | |
17 | Ghinda | 7,702 | 10,523 | Bahari Nyekundu Kaskazini | |
18 | Mersa Fatuma | N/A | 9,542 | Bahari Nyekundu Kusini | |
19 | Himbirti | N/A | 8,822 | Kati | |
20 | Nefasit | N/A | 8,727 | Kati |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Orodha ya miji ya Eritrea, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.