Oliver Cromwell (25 Aprili 1599 – 3 Septemba 1658) alikuwa mwanajeshi na mwanasiasa wa Uingereza.
Anajulikana kwa kufanya jamhuri ya Uingereza kuwa na umoja na soko la pamoja.
Cromwell alikuwa mwanamapinduzi ambaye alikuwa akipinga utawala wa mfalme Charles I wa Uingereza ambaye alikuwa na uongozi mbaya ambao uliwapitisha wananchi WA Uingereza katika kipindi kigumu. Aliunga mkono bunge dhidi ya mfalme. Alitoa amri ya kijeshi ya kuvunja bunge katika utawala wake. Kitendo alichochukua Cromwell hakikufurahisha watu zaidi ya kuwachanganya mpaka leo.
Cromwell alikuwa wa kwanza Uingereza kutekelezwa Upuritani. Alikuwa analinda imani na maadili ya Anglikana ili ziheshimiwe na watu. Watu waliokwenda kinyume na dini hiyo aliamuru wakamatwe na kuteswa.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Oliver Cromwell kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Oliver Cromwell, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.