Mstroberi (Fragaria x ananassa) ni mmea mdogo wa familia Rosaceae unaotoa matunda mekundu (stroberi).
Mstroberi (Fragaria x ananassa) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mstroberi | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Maua ni meupe. Mmea huu ni mvyauso kati ya Fragaria chiloensis na F. virginiana na kwa hivyo unatoa matunda makubwa zaidi.
Mistroberi hukuzwa sana katika kanda za tabianchi wastani na za nusutropiki na pia katika ukanda wa tropiki wakati wa majira ya baridi au milimani. Stroberi hupendwa sana kwa ajili ya ladha yao maalum tamu.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mstroberi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mstroberi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.