Diyarbakır ni jin la kutaja mkoa uliopo mjini mashariki mwa nchi ya Uturuki.
Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 15,355 na jumla ya wakazi 1,494,321. Awali idadi ya wakazi wanaoishi hapa ilikuwa 1,362,708 kwa hesabu ya sensa ya mwaka wa 2000.
Mkoa wa Diyarbakır | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Diyarbakır nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Kusinimashariki ya Anatolia |
Eneo: | 15,355 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 1,494,321 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 21 |
Kodi ya eneo: | 0412 |
Tovuti ya Gavana | http://www.diyarbakır.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/diyarbakır |
Mikoa inayopakana karibu na mkoa huu ni pamoja na Elazığ kwa upande wa kaskazini-magharibi, Malatya na Adıyaman kwa upande wa magharibi, Şanlıurfa kwa upande wa kusini-mashariki, Mardin kwa upande wa kusini, Batman kwa upande wa mashariki, Muş kwa upande wa mashariki, na Bingöl kwa upande wa kaskazini-mashariki ya nchi. Mji mkuu wake ni Diyarbakır.
Mkoa wa Diyarbakır umegawanyika katika wilaya 14 (mji mkuu umekoozeshwa):
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Diyarbakır kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mkoa wa Diyarbakır, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.