Mboni Mohamed Mhita

Mboni Mohamed Mhita ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM.

Amechaguliwa kuwa mbunge wa Handeni Vijijini kwa miaka 20152020. Amekuwa mbunge wa Bunge la Afrika toka mwaka 2016. Alichaguliwa kuwa Rais wa Vijana wa Bunge la Afrika mwaka 2017.

Alipata kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi. Mnamo Januari 2023, alichaguliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Kahama.

Marejeo

Tags:

20152020Bunge la Umoja wa AfrikaCCMChama cha kisiasaHandeniMtanzaniaMwanasiasaWabunge wa Tanzania 2015

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

MotoIsimujamiiNgamiaMfumo katika sokaChuiMadiniAir TanzaniaOrodha ya viongoziRadiBendera ya TanzaniaAlama ya barabaraniUandishi wa inshaShetaniKihusishiOsama bin LadenDioksidi kaboniaWabena (Tanzania)RaiaKrismaUfahamuJipuRihannaKwaresimaBrazilJuaNeemaKrismasiClatous ChamaKisiwa cha MafiaMkoa wa ArushaNabii EliyaMunguMkoa wa TaboraMwakaUlayaDhambiOrodha ya shule nchini TanzaniaRedioUgandaKunguruNevaJakaya KikweteMbwana SamattaKalendaUkristo barani AfrikaAfrikaAgano JipyaNdiziSilabiKisimaSikioUgonjwa wa moyoSkautiUlumbiUNICEFSaratani ya mapafuReal BetisJihadiBotswanaMauaji ya kimbari ya RwandaWamandinkaUchawiIsimuKitunguuMkoa wa SingidaWaluguruUpepoKisasili28 MachiOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaKitubioOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaBaraAunt Ezekiel🡆 More