Kimoore

Kimoore (pia Kimossi) ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Burkina Faso inayozungumzwa na Wamoore.

Idadi ya wasemaji wa Kimoore nchini Burkina Faso imehesabiwa kuwa watu milioni tano. Pia kuna wasemaji 19,700 nchini Togo, wasemaji 17,000 nchini Mali na wasemaji wachache nchini Ghana, Benin, Cote d'Ivoire na Senegal. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimoore iko katika kundi la Kigur.

Viungo vya nje

Kimoore  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimoore kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

BeninBurkina FasoCote d'IvoireGhanaLugha za Kiniger-KongoMaliSenegalTogo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Vivumishi vya pekeeAlasiriVielezi vya mahaliKondoo (kundinyota)MsengeUenezi wa KiswahiliKipaimaraZana za kilimoTanzaniaAbrahamuMaambukizi nyemelezi2 AgostiOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMapinduzi ya ZanzibarKima (mnyama)Orodha ya Marais wa UgandaMafuta ya wakatekumeniHoma ya manjanoMsumbijiRitifaaNdoaKishazi tegemeziPesaJinsiaNyaniOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaMkutano wa Berlin wa 1885Angkor WatUjasiriamaliKumaMapambano ya uhuru TanganyikaOrodha ya milima mirefu dunianiChuo Kikuu cha Dar es SalaamNabii IsayaKisasiliMisemoLahaja za KiswahiliMwenge wa UhuruUandishi wa barua ya simuNyokaNomino za pekeeUkristoOrodha ya Watakatifu wa AfrikaMkondo wa umemeHistoria ya WokovuTreniMusuliVidonge vya majiraTaasisi ya Taaluma za KiswahiliMkwawaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziMunguUturukiRené DescartesMkoa wa PwaniVipaji vya Roho MtakatifuDodoma (mji)Kalenda ya KiyahudiSemantikiBiashara ya watumwaAzimio la ArushaUbaleheVielezi vya namnaAli KibaInjili ya MathayoKamusiBotswanaNdege (mnyama)WiktionaryMtende (mti)Jackie ChanMeta PlatformsPandaMagonjwa ya kuku🡆 More