Juneau ni mji mkuu wa Alaska (jimbo la Marekani). Mwaka 2000 mji ulikuwa na wakazi 30,711. Mji upo m 17 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Juneau | |||
| |||
Majiranukta: 58°23′00″N 134°11′00″W / 58.38333°N 134.18333°W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Alaska | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 30,690 | ||
Tovuti: www.juneau.org |
Juneau iliundwa 1881 kutokana na kambi la wachimba dhahabu. Jina la mji latunza kumbukumbu la Joe Juneau aliyekuwa kati ya watu waliogundua dhahabu hapa.
Miji mikuu ya majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Juneau, Alaska kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Juneau, Alaska, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.