Jumuiya Ya Kiuchumi Ya Ulaya

Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya ilikuwa ushirikiano wa nchi za Ulaya katika mambo ya uchumi tangu 1958.

Imekuwa chanzo cha Umoja wa Ulaya.

Jumuiya Ya Kiuchumi Ya Ulaya
Nchi sita zilizoanzisha
Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya
(BRD= Ujerumani ya Magharibi)

Jumuiya ilianzishwa na nchi sita za Italia, Luxemburg, Ubelgiji, Ufaransa, Uholanzi na Ujerumani ya Magharibi katika mikataba ya Roma 25 Machi 1957 na kuanza kazi 1 Januari 1958.

Sababu muhimu za kuanzisha ushirikiano huo ilikuwa maarifa ya vita kuu ya pili ya dunia na nia ya kuzuia marudio kwa njia ya ushirikiano wa kiuchumi.

Jumuiya ilifaulu na nchi nyingine zilijiunga nayo:

  1. 1973: Uingereza, Ueire, Denmark (wanachama 9)
  2. 1981: Ugiriki (wanachama 10)
  3. 1986: Hispania, Ureno (wanachama 12)

Tangu 1991 Jumuiya iliendelezwa kuwa Umoja wa Ulaya.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

WarakaWilaya ya TemekeUtamaduniBenderaOrodha ya mito nchini TanzaniaApril JacksonNetiboliSimba S.C.Kinembe (anatomia)MariooMarie AntoinetteMbuniMapenzi ya jinsia mojaUandishiNamba tasaKanda Bongo ManKiambishi awaliJoseph ButikuMbuga za Taifa la TanzaniaAli KibaKata za Mkoa wa MorogoroHistoria ya UislamuUmoja wa AfrikaArusha (mji)KipazasautiJokate MwegeloWhatsAppUzalendoZakaMtandao wa kijamiiKondomu ya kikeMeno ya plastikiPumuUzazi wa mpangoKigoma-UjijiMaumivu ya kiunoP. FunkKariakooKomaMtakatifu MarkoKupatwa kwa JuaWahayaRushwaRisalaUpendoTambikoWilaya ya ArushaVisakaleMilaVivumishi vya -a unganifuOrodha ya kampuni za TanzaniaSaidi NtibazonkizaUfugaji wa kukuJamhuri ya Watu wa ChinaBidiiSanaa za maoneshoSaratani ya mlango wa kizaziKimara (Ubungo)UturukiDini asilia za KiafrikaMuhimbiliHoma ya mafuaRaiaMlongeMafumbo (semi)Amri KumiBaruaMartha MwaipajaFisiWizara ya Mifugo na UvuviIfakaraViwakilishi vya kuoneshaMaradhi ya zinaaMartin LutherTamthilia🡆 More