Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kimoldova ilikuwa kati ya jamhuri wanachama 15 za Umoja wa Kisovyeti hadi 1991.
Jina lake liliandikwa kwa Kikirili "Република Советикэ Сочиалистэ Молдовеняскэ (republika sovyetike sotsialiste moldovenyaske) au kwa maandiko ya Kilatini: Republica Sovietică Socialistă Moldovenească; kwa Kirusi: Молдавская Советская Социалистическая Республика.
Iliundwa 1940 kutokana maeneo mawili:
Wakazi wa sehemu hii ni hasa Waromania lakini kuna mchanganyiko na Warusi na Waukraine pia.
Wakati wa kuachana kwa Umoja wa Kisovyeti jina likabadilishwa kuwa Jamhuri ya Moldava lililotangaza uhuru wake 27 Agosti 1991 kuwa Moldova.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kimoldova, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.