James Rankin McNaught (8 Juni 1870 - Machi 1919) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu.
McNaught alianza kucheza mpira wa miguu na klabu ya mtaani kwao ijulikanayo kama Dumbarton F.C.. Mnamo Februari mwaka 1893 alijiunga na klabu ya Newton Heath. , ambapo aliumia kiwiko katika mchezo wa tatu dhidi ya Ardwick. Baada ya kufunga mabao 12 kwenye michezo 162 akiwa na timu ya Newton Heath, Mei mwaka 1898 alihamia timu ya Tottenham Hotspur..
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu James McNaught kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article James McNaught, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.