Funchal ni makao makuu wa visiwa vya Madeira ikiwa kwenye kisiwa kikuu kinachoitwa Madeira pia.
Vilevile makao makuu ya wilaya ya Funchal. Madeira ni funguvisiwa la Kireno katika sehemu ya Kiafrika ya Atlantiki.
Funchal | |||
| |||
Majiranukta: 32°39′04″N 16°54′35″E / 32.65111°N 16.90972°E | |||
Nchi | Ureno | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Madeira | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 100,847 | ||
Tovuti: http://www.cm-funchal.pt/cmf/ |
Maana ya neno "funchal" ni "shamari" - kwa sababu shamari ilipatikana kwa wingi wakati Wareno walipofika kisiwani mara ya kwanza.
Mji una wakazi 45,000; ni zaidi ya lakhi moja pamoja na mitaa ya nje. Funchal ilikua pamoja na utalii wa watu tajiri. Kuna chuo kikuu "Universidade da Madeira".
Wilaya ya Funchal ina visiwa vya Porto Santo, Ilhas Desertas na Ilhas Selvagens pamoja na Madeira yenyewe.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ureno bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Funchal kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Funchal, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.