Funguvisiwa

Funguvisiwa ni kundi la visiwa vinavyokaa sehemu pamoja baharini.

Mara nyingi kundi la namna hiyo lina asili moja, kama vile kuwa mabaki ya kisiwa kikubwa zaidi kilichogawika kutokana na mmomonyoko wa ardhi yake au kuwa na asili ya volkeno.

Funguvisiwa
Funguvisiwa la Galapagos katika Pasifiki

Atolli inaweza kuonekana pia kama kundi la visiwa lakini huhesabiwa zaidi kama kisiwa kimoja hata kama sehemu kadhaa ziko chini ya maji. Katika Bahari ya Pasifiki na Bahari Hindi kuna mafunguvisiwa ya atolli.

Funguvisiwa kubwa kabisa duniani ni lile la Indonesia pamoja na Ufilipino linaloitwa pia Funguvisiwa la Malay.

Bahari ya Pasifiki ina mafunguvisiwa mengi, pia sehemu ya Karibi ya Bahari ya Atlantiki karibu na Amerika ya Kati.

Mafunguvisiwa muhimu ya Afrika ni Zanzibar, Shelisheli na Komoro katika Bahari Hindi, halafu Visiwa vya Kanari na Visiwa vya Madeira katika Atlantiki.

Mafunguvisiwa madogo karibu na pwani ya Afrika ya Mashariki ni kama vile ya Lamu, Kilwa na Kirimba.

Funguvisiwa Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Tags:

ArdhiAsiliBahariKisiwaKundiMmomonyokoVolkeno

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkoa wa MorogoroDhahabuMkoa wa IringaVivumishi vya jina kwa jinaMauaji ya kimbari ya RwandaKitenzi kikuu kisaidiziWazaramoOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaNgeliSanaa za maoneshoMaumivu ya kiunoMichoro ya KondoaNadhariaTahajiaAsili ya KiswahiliHoma ya iniBiashara ya watumwaRufiji (mto)MlongeNguruwe-kayaDar es SalaamHistoria ya KiswahiliMkoa wa TangaKarneUfupishoMkataba wa Helgoland-ZanzibarHeshimaMashineMnyoo-matumbo MkubwaFiston MayeleMatendo ya MitumeMuungano wa Madola ya AfrikaVitendawiliXabi AlonsoMaajabu ya duniaYerusalemuKunguniUlimwenguBikira MariaNdotoWikipediaViwakilishi vya pekeeJipuKatekisimu ya Kanisa KatolikiMafurikoBaruaMachweoUgonjwa sugu wa njia za pumzi zilizofunganaMwaka wa KanisaUgonjwa wa kuharaPaul MakondaNyweleViwakilishi vya kuoneshaMatumizi ya LughaTupac ShakurHenokoMitume na Manabii katika UislamuFisiMohammed Gulam DewjiErling Braut HålandMwanzoDiwaniUkristo barani AfrikaBinadamuUshairiLugha rasmiKukuVolkenoChristina ShushoKiswahiliKiboko (mnyama)Bahari ya HindiHassan MwakinyoVisakaleUtamaduni wa Kitanzania🡆 More