Charles Philippe Théodore Andler (11 Machi 1866, Strasbourg – 1 Aprili 1933, Malesherbes, Loiret) alikuwa ni mwanafalsafa mwenye mchanganyiko wa Kijerumani na Kifaransa.
Andler alizaliwa katika familia ya kiprotestanti katika jiji la Strasbourg, nchini Ufaransa. Mwaka 1887 hadi 1888, Andler alishindwa kufikia mafanikio ya juu katika falsafa, maamuzi yaliyofikiwa na Jules Lachelier. Lacheller alikuwa ni msimamizi na mkaguzi wa maswala ya falsafa, ambaye toka awali alionekana kuwa na mtazamo hasi juu ya falsafa ya Kijerumani. Baadae alibadilisha maamuzi ya kuchukua masomo ya falsafa ya Ujerumani suala lililompelekea kufaulu katika kiwango cha juu kabisa katika darasa lake. Hatimaye Andler alifanikiwa kuwa profesa wa Kijerumani katika Sorbonne hii ikiwa mwaka 1901 na baadae chuo cha Collège de France mwaka 1926.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Charles Andler, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.