Bendera Ya Jamhuri Ya Afrika Ya Kati

Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ina milia minne ya kulala ya rangi buluu - nyeupe - kijani - njano inayokatwa na mlia mmoja mwekundu wa kusimama.

Ndani ya mlia wa juu kuna nyota ya pembetano njano.

Bendera Ya Jamhuri Ya Afrika Ya Kati
Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati

Bendera hii imetungwa na Barthélemy Boganda aliyekuwa rais wa kwanza wa eneo la kujitawala wa Ubangui-Shari wakati wa mwisho wa ukoloni wa Ufaransa. Boganda aliamini ya kwamba "Afrika na Ufaransa wanapaswa kwenda sambamba". Hivyo aliunganisha rangi za bendera ya Ufaransa (nyekundu-nyeupe-buluu) na rangi za Umoja wa Afrika (nyekundu - kijani - njano).

Nyota ni alama ya uhuru.

Tags:

Jamhuri ya Afrika ya Kati

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

AdhuhuriTungo sentensiLugha ya kwanzaBiashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiUtumwaUtoaji mimbaNishatiCédric BakambuLisheMwanga wa juaViwanja vya Afrika (Kwa Ukubwa)MajiOrodha ya milima mirefu dunianiMkoa wa Unguja Mjini MagharibiBawasiriUpendoMohammed Gulam DewjiSamia Suluhu HassanJamhuri ya Kidemokrasia ya KongoAbrahamuBunge la Umoja wa AfrikaMtandao wa kompyutaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaBaraza la Maaskofu Katoliki TanzaniaWanyaturuMji mkuuMimba kuharibikaMkoa wa ManyaraSkeliVipera vya semiJVivumishi vya sifaKiraiOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaNomino za pekeeKito (madini)Kata za Mkoa wa MorogoroPichaWagogoRamaniUzazi wa mpangoWachaggaMsokoto wa watoto wachangaMusuliUnyevuangaUbongoOrodha ya Marais wa ZanzibarJinaKalamuOrodha ya Marais wa MarekaniOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaKiongoziUmemeMkoa wa SongweUingerezaBurundiShengUyahudiUsawa (hisabati)AmfibiaIsaNelson MandelaMeno ya plastikiJumapili ya matawiWilaya ya KinondoniMfumo wa mzunguko wa damuKibodiKoloniAlama ya barabaraniTeknolojia ya habariSubrahmanyan ChandrasekharThomas UlimwenguMabantuKiarabuMagavanaHistoria ya uandishi wa QuraniBinadamuNgozi🡆 More