Nusungeli na oda Nusungeli:
Arakinida | ||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Buibui ni oda ndani ya arakinida | ||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||
| ||||||||
Ngazi za chini | ||||||||
Oda: |
Arakinida ni ngeli ya wanyama wasio na utimgongo. Kiasi wanafana na wadudu lakini wana miguu nane badala ya sita. Katika uainishaji wa kisayansi wamepangwa kama oda kati ya arithropoda.
Aina kati yao zinazojulikana zaidi ni buibui pamoja na nge na visusuli. Wadogo kati yao ni kupa na funduku.
Miili huwa na mapande mawili ambayo ni kichwa pamoja na kidari mbele na tumbo nyuma. Ila tu kwa funduku pande zote mbili hazionekani vizuri maadamu zimekua kama sehmu moja. Tabia inayoonekana vizuri ni miguu nane. Hata hapa funza za funduku wengi wana miguu sita tu.
Aina nyingi huwa na miiba ya sumu inayoweza kuuma. Kazi yake ni kusaidia uvindaji wa wanyama wengine lakini kwa spishi kadhaa sumu ni hatari hata kwa viumbe vikubwa kama binadamu akidungwa.
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Arakinida kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Arakinida, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.