Aleksanda Wa Konstantinopoli

Aleksanda wa Konstantinopoli (264 hivi - 337 hivi) alikuwa askofu wa Bizanti, baadaye askofu mkuu wa kwanza wa mji huo kwa jina jipya la Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, kuanzia mwaka 314 hadi kifo chake.

Inasemekana kwanza alikuwa mmonaki kutoka Calabria, Italia Kusini.

Alipinga kwa nguvu zote Uario bila kujali vitisho wa kaisari Konstantino Mkuu na wengineo.

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Agosti au 30 Agosti.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  •  
  • Κ.Μ. Κούμα,Ιστορίαι των ανθρώπινων πράξεων, από των αρχαιοτάτων χρόνων έως των ημερών μας, τόμος Ε΄, Βιέννη 1830
  •  
  •  
  • Smith, I. G. "Alexander, of Byzantium" , in: Wace, Henry; Piercy, William C. (eds.). Dictionary of Christian Biography and Literature to the End of the Sixth Century (3rd ed.), Londra, John Murray.

Viungo vya nje

Aleksanda Wa Konstantinopoli  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

Aleksanda Wa Konstantinopoli Tazama piaAleksanda Wa Konstantinopoli TanbihiAleksanda Wa Konstantinopoli MarejeoAleksanda Wa Konstantinopoli Viungo vya njeAleksanda Wa Konstantinopoli264314337AskofuAskofu mkuuBizantiIstanbulJinaKifoKonstantinopoliMjiMwakaUturuki

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Saratani ya mlango wa kizaziMkoa wa DodomaFid QManeno sabaPonografiaMusaMweziMkoa wa Unguja Mjini MagharibiVita vya KageraVipera vya semiKombe la Dunia la FIFAIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)MuhammadKilimanjaro (Volkeno)Steve MweusiOrodha ya programu za simu za WikipediaOrodha ya milima mirefu dunianiKiunzi cha mifupaHaikuMivighaKamusi za KiswahiliMwanza (mji)KanzuMariooBustani ya EdeniPasaka ya KikristoNimoniaViwakilishi vya urejeshiMwanamkeNafsiUfufuko wa YesuMahakama ya TanzaniaSkautiChris Brown (mwimbaji)Tiba asilia ya homoniAfrika KusiniWabena (Tanzania)KiswahiliUjasiriamaliBunge la Afrika MasharikiLughaKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniArudhiIsaDini nchini TanzaniaNdoo (kundinyota)KilatiniMajira ya baridiUkooLugha za KibantuKisononoUnyanyasaji wa kijinsiaXXMfumo wa mzunguko wa damuFigoLatitudoMapafuMalaikaWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya Marais wa UgandaKendrick LamarKunguruMaradhi ya zinaaUandishi wa inshaMkoa wa Dar es SalaamKibodiBiblia ya KikristoIdi AminMbossoKupatwa kwa JuaMapambano ya uhuru TanganyikaOrodha ya Watakatifu wa AfrikaVihisishiChakula🡆 More