Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Askofu" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Askofu ni mtu mwenye cheo cha juu katika Kanisa. Kwa kawaida huliongoza katika eneo la dayosisi (jimbo) akisimamia shirika au parokia nyingi. Neno la Kiswahili... |
Askofu mkuu ni cheo cha askofu kiongozi anayesimamia maaskofu katika jimbo la kanisa lenye dayosisi mbalimbali. Asili ya neno lenyewe ni Kigiriki αρχή... |
Askofu msaidizi (kwa Kiingereza "auxiliary bishop") ni kiongozi wa Kikristo aliyeteuliwa hasa kwa lengo la kwamba amsaidie askofu wa jimbo kuongoza na... |
Askofu mwandamizi au kwa maneno mengine "askofu mrithi"(kwa Kiingereza "coadjutor bishop") ni askofu aliyeteuliwa kurithi madaraka kamili ya kuongoza na... |
Askofu mkuu kabisa ni cheo cha pekee kinachopatikana katika Makanisa Katoliki ya Mashariki 4 kati ya 22. Askofu huyo anaongoza mojawapo kwa mamlaka inayofanana... |
Yusto wa Aleksandria (askofu) (alifariki 19 Juni 129) alikuwa askofu wa sita wa Aleksandria (Misri) miaka 118-129. Alibatizwa na Marko Mwinjili ambaye... |
Askofu Mkuu wa Canterbury anafahamika kama kiongozi wa kiroho katika Kanisa la Uingereza na katika Jumuiya Anglikana. Kimsingi ndiye askofu wa dayosisi... |
Makamu wa askofu ni cheo cha Kanisa Katoliki anachopewa askofu au padri ili kutimiza baadhi ya majukumu ya askofu wa jimbo na kwa niaba yake. Katika Mkusanyo... |
Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi, askofu msaidizi n.k. Katika... |
Amedeus Msarikie (elekezo toka kwa Askofu Msarikie) 2013) alikuwa askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Jozef Tomko mwaka wa 1986. Tangu mwaka huo alikuwa askofu wa Jimbo la Moshi... |
Aloysius Balina (elekezo toka kwa Askofu Balina) 2012) alikuwa Askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Papa Yohane Paulo II mwaka 1984. Tangu 1997 hadi kifo chake alikuwa askofu wa Jimbo la... |
Josaphat Louis Lebulu (elekezo toka kwa Askofu Lebulu) (amezaliwa 13 Juni 1942) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1979. Baada ya kuwa askofu wa Jimbo Katoliki la... |
Agapiti Ndorobo (elekezo toka kwa Askofu Ndorobo) Agosti 1954) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka wa 1995. Tangu mwaka huo, ni askofu wa Jimbo la Mahenge... |
Norbert Wendelin Mtega (elekezo toka kwa Askofu Mtega) (amezaliwa 17 Agosti 1945) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Papa Yohane Paulo II mwaka wa 1986 kama askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa... |
Raymond Mwanyika (elekezo toka kwa Askofu Mwanyika) 2013) alikuwa askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Laurean Rugambwa mwaka wa 1971. Tangu mwaka huo alikuwa askofu wa Jimbo la Njombe... |
Damian Dalu (elekezo toka kwa Askofu Dalu) Aprili 1955) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka 2000. Tangu mwaka huo, alikuwa askofu wa Jimbo la Geita... |
Castor Paul Msemwa (elekezo toka kwa Askofu Msemwa) 2017) alikuwa askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka wa 2005. Tangu mwaka huo alikuwa askofu msaidizi wa Jimbo... |
William Pascal Kikoti (elekezo toka kwa Askofu Kikoti) alikuwa askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka 2001. Tangu mwaka huo hadi kifo chake alikuwa askofu wa Jimbo... |
Matthias Joseph Isuja (elekezo toka kwa Askofu Isuja) alikuwa askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1972. Tangu mwaka huo hadi 2005, alipostaafu, alikuwa askofu wa... |
Isaac Amani Massawe (elekezo toka kwa Askofu Massawe) Juni 1951) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania. Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka wa 2008. Tangu mwaka huo, alikuwa askofu wa Jimbo la Moshi... |