Abdallah Dadi Chikota Nanyamba (amezaliwa 28 Februari 1966) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM, pia ni mwalimu kitaaluma.
Amechaguliwa kuwa mbunge wa Nanyamba (Mtwara Vijijini) kwa miaka 2015 – 2020.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Abdallah Chikota, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.