Ufalme Yuda

Ufalme wa Yuda (kwa Kiebrania מַמְלֶכֶת יְהוּדָה, Mamlekhet Yehuda) ulikuwa nchi ya Mashariki ya Kati katika karne ya 10 KK hadi karne ya 6 KK.Mara nyingi unaitwa ufalme wa Kusini kwa sababu ulitokana na mgawanyiko wa Ufalme wa Israeli ulioendelea upande wa kaskazini.

Ufalme huo uliongozwa daima na ukoo wa Daudi, isipokuwa miaka 6 (842 KK - 837 KK) aliposhikwa utawala malkia Atalia, binti au dada wa mfalme wa Israeli Ahabu. Hata hivyo kwa muda mrefu watawala wa Yuda walikuwa vibaraka wa Ashuru au nchi nyingine za jirani.).

Hatimaye, chini ya mfalme Sedekia, mfalme Nebukadneza II wa Babuloni aliangamiza ufalme huo na mji mkuu wake, Yerusalemu, mwaka 587, akihamisha kwa awamu tatu wakazi wake hadi Mesopotamia.

Mwaka 539 Koreshi Mkuu, mfalme wa Persia, aliteka Babuloni na kuruhusu Wayahudi warudi kwao, si tena kama ufalme, bali kama wilaya iliyoitwa Yehud, chini ya Zerubabeli, kitukuu wa Yekonia, wa pili kuanzia mwisho kati ya wafalme wa Yuda.

Tanbihi

Ufalme Yuda 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Marejeo

Ufalme Yuda  Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yuda (ufalme) kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Karne ya 10 KKKarne ya 6 KKKaskaziniKiebraniaKusiniMashariki ya KatiUfalmeUfalme wa Israeli

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Tume ya Taifa ya UchaguziMtume PetroNguzo tano za UislamuKanga (ndege)Mitume wa YesuPunyetoUsafi wa mazingiraDubaiSanaa za maoneshoHekalu la YerusalemuYesuShairiDhamiraDamuMaradhi ya zinaaUshairiUenezi wa KiswahiliSitiariUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMwenge wa UhuruMrisho MpotoAgano JipyaSahara ya MagharibiKina (fasihi)Ng'ombeMwarobainiSimu za mikononiMkatabaDaktariChama cha Kijamaa-Kidemokrasia cha UjerumaniHafidh AmeirHifadhi ya mazingiraMjasiriamaliNgonjeraWayahudiPapa (samaki)UjasiriamaliMagonjwa ya kukuMvua ya maweWanyama wa nyumbaniJoyce Lazaro NdalichakoJuxHoma ya mafuaYoung Africans S.C.Mkoa wa LindiUsawa (hisabati)KifaruMlongeMariooDubai (mji)Vivumishi vya urejeshiMkoa wa TaboraKichochoBibliaPius MsekwaHedhiAbedi Amani KarumeIniPesaWamasaiYordaniHistoria ya AfrikaC++Homa ya matumboUpendoNyangumiMizimuHomoniTabianchi ya Tanzania🡆 More