Usalama

Usalama (kutoka neno la Kiarabu; kwa Kiingereza: security) ni hali ya kutokuwa na vurugu au hatari kwa mtu au jamii.

Kujisikia salama ni kati ya haja za msingi za nafsi, hivyo kuhakikisha usalama wa ndani na nje ni kati ya majukumu muhimu zaidi ya serikali, ambayo kwa ajili hiyo inatumia jeshi, polisi n.k.

Utovu wa usalama ni kati ya sababu kuu za watu kuhama nchi yao kama [[wakimbizi] .

Tags:

KiarabuKiingerezaNeno

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

ShangaziBurundiKiambishiLigi ya Mabingwa AfrikaUjerumaniUandishi wa inshaVitenzi vishiriki vipungufuKidoleUongoziWasukumaLGBTUmemePopoMafumbo (semi)KichochoDaftariTendo la ndoaVivumishiInjili ya LukaInshaAlama ya uakifishajiKisaweNembo ya TanzaniaOrodha ya mito nchini TanzaniaDaudi (Biblia)Vivumishi vya ambaMuzikiMuundo wa inshaDhahabuSomaliaSamakiKibonzoTahajiaSeli za damuHifadhi ya SerengetiNadhariaJumuiya ya MadolaCédric BakambuKipandausoHistoria ya TanzaniaKenyaMoyoYesuOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaMimba za utotoniMfumo wa mzunguko wa damuUtamaduniVasco da GamaDar es SalaamSumbawanga (mji)RwandaDiego GraneseLionel MessiMusuliThamaniKilimanjaro (Volkeno)Fatma KarumeChuraBob MarleySemantikiAli KibaParisKatibaNgonjeraVitenzi vishirikishi vikamilifuAbd el KaderHistoria ya uandishi wa QuraniKamusiMawasilianoNyokaMkoa wa Unguja Mjini MagharibiIdi AminTungo sentensiUvimbe wa koromeo usababishwao na streptokokiBenderaHarmonize🡆 More