Umoja wa Mungu Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu) Umwilisho Maisha ya Yesu Msalaba Ufufuko Kupaa Historia ya Wokovu Ufunuo Biblia Mapokeo Ualimu Dogma Neema Dhambi Wokovu Sakramenti Watakatifu Bikira Maria
Ualimu wa Kanisa katika imani ya Wakatoliki linamaanisha mamlaka ya Kanisa, kupitia hasa maaskofu wake, katika kufundisha imani na maadili ili kudumisha, kustawisha na kueneza karne hadi karne hazina ya imani iliyofunuliwa na Mungu hasa katika Yesu Kristo na kukabidhiwa kwa Mitume wake.
Ualimu huo unaweza kuwa wa kawaida na usio wa kawaida.
Ule wa kawaida ndiyo namna ambayo Papa wa Roma na Maaskofu wenzake wanatoa mafundisho yao siku kwa siku kwa njia ya hotuba, barua na maandishi mengine.
Kumbe ule usio wa kawaida unatolewa kwa fahari ya pekee, kwa mfano katika Mtaguso mkuu au katika tamko rasmi la kudumu linalotolewa na Papa kwa niaba ya Maaskofu wote.
|isbn=
value (help).Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ualimu wa kanisa kama historia yake, matokeo au athari zake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Ualimu wa kanisa, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.