Tunis

Tunis (kwa Kiarabu: تونس ) ni mji mkuu wa Tunisia na mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi 602,560 (mwaka 2022) ambao pamoja na wakazi wa mitaa ya nje wanafikia jumla ya milioni 2.7.

Jiji la Tunis
Nchi Tunisia
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 602,560
Tunis
Place de la Victoire (Uwanja wa ushindi) mjini Tunis
Tunis
Picha ya Tunis kutoka angani

Mji uko ufukoni mwa Mediteranea, karibu na Karthago ya Kale.

Mji wa kale (Medina ya Tunis) umeorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia.

Tazama pia

Mandhari ya Tunis usiku

Viungo vya nje

Tunis 
WikiMedia Commons
Wiki Commons ina media kuhusu:
Tunis  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tunis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Vipera vya semiKanisa KatolikiNguruwe-kayaBustaniWachaggaToharaSiasaMpira wa miguuVielezi vya mahaliYordaniWokovuJulius NyerereOrodha ya visiwa vya TanzaniaMkoa wa ArushaKisononoMkatabaMamelodi Sundowns F.C.BenderaMwenge wa UhuruMashuke (kundinyota)Mwaka wa KanisaMandhariKihusishiUlumbiSoko la watumwaBara la AntaktikiUjamaaOrodha ya Marais wa KenyaUshairiMbeya (mji)Orodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaBogaSanaa za maoneshoYoung Africans S.C.Yombo VitukaNyangumiLucky DubeNimoniaMamba (mnyama)MsamiatiOrodha ya Magavana wa TanganyikaMkoa wa TaboraPamboUkimwiNahauTundaSomo la UchumiUhuruOrodha ya vitabu vya BibliaBaraHistoria ya Afrika KusiniKumaImaniWaluguruBibliaMagonjwa ya kukuRaiaMkoa wa Unguja Mjini MagharibiAmri KumiSinagogiUpepoMaishaSheriaKaraniMilango ya fahamuKipindupinduFatma KarumeHuduma ya kwanzaKanga (ndege)NduniLuhaga Joelson MpinaMnara wa BabeliMwislamuUwanja wa Taifa (Tanzania)🡆 More