Tume Ya Sayansi Na Teknolojia Tanzania

Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (Kiingereza: Tanzania Commission for Science and Technology kifupi COSTECH) ni shirika la umma ambalo linashirikiana na serikali ya Tanzania.

Ilianzishwa kwa agizo la Bunge la Tanzania mnamo mwaka wa 1986 ikiwa kama mpokezi wa Baraza la Sayansi na Utafiti Tanzania. Tume hii ni tawi la taasisi na Wizara ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia. Ofisi zake kuu zipo mjini Dar es Salaam.

Marejeo

Tazama pia

  • Serikali ya Tanzania

Viungo vya Nje

Tume Ya Sayansi Na Teknolojia Tanzania  Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Bunge la Taifa la TanzaniaDar es SalaamKiingerezaTanzaniaWizara ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, Tanzania

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kutoka (Biblia)Roho MtakatifuMeta PlatformsMkoa wa KilimanjaroCristiano RonaldoKukuWilaya ya Nzega VijijiniJay MelodyWanyama wa nyumbaniJamhuri ya Watu wa ZanzibarUzazi wa mpangoOrodha ya milima mirefu dunianiSabatoUhakiki wa fasihi simuliziMkoa wa RukwaMtume PetroP. FunkEdward SokoineBarua rasmiHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoMartin LutherFasihi simuliziMwanaumeLady Jay DeeRushwaHomoniMarekaniShinikizo la juu la damuWaheheOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaLafudhiUmoja wa AfrikaAlomofuUnyevuangaVidonge vya majiraUtamaduniNgonjeraNdege (mnyama)MbuniJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaWilaya ya KinondoniMuundoHistoria ya TanzaniaAbrahamuBabeliBikiraMalariaHoma ya mafuaNomino za dhahaniaRisalaBenderaUpinde wa mvuaSomo la UchumiWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiMvuaAndalio la somoWahaOrodha ya nchi za AfrikaBurundiMbogaWahadzabeSimu za mikononiWagogoBenjamin MkapaNembo ya TanzaniaDivaiMtakatifu MarkoOrodha ya vyama vya siasa TanzaniaSikioWashambaaUislamuBongo FlavaOrodha ya Marais wa ZanzibarAlama ya barabaraniAfrika Mashariki 1800-1845Magharibi🡆 More