Tauranga (kwa Kimaori: Tauranga-moana) ni mji wa New Zealand wenye wakazi 143,000 (2010).
Uko upande wa kaskazini wa funguvisiwa. Eneo lake ni km² 98. Mji ulianzishwa mwaka 1838.
Mji wa Tauranga (New Zealand) | |
Mkoa | Bay of Plenty |
Anwani ya kijiografia | Latitudo: 37°41′0″ - Longitudo: 176°10′0″E |
Eneo | 168 km² |
Wakazi | 114,300 (mji pekee) 120,000 (pamoja na rundiko) |
Msongamano wa watu | watu 680.4 (mji pekee) kwa km² |
Simu | +64 (nchi), 07 (mji) |
Mahali | |
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Tauranga, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.