Tacitus

Publius (au Gaius) Cornelius Tacitus (56 hivi - 120 hivi BK) alikuwa mwanasiasa na mwanahistoria wa Dola la Roma.

Tacitus
Sanamu yake nje ya Bunge la Austria.

Vitabu vyake maarufu vilivyotufikia kwa sehemu tu vinaitwa kwa Annales na Historiae. Vinasimulia historia ya dola hilo kuanzia mwaka 14 hadi 70.

Maandishi yake mengine yanahusu ufundi wa kutoa hotuba (Dialogus de oratoribus), Ujerumani (De origine et situ Germanorum), na maisha ya mkwe wake, jenerali Gnaeus Julius Agricola, aliyeteka sehemu kubwa ya Britania (De vita et moribus Iulii Agricolae).

Tacitus anahesabiwa kati ya wanahistoria bora wa Roma ya Kale.

Tanbihi

Tacitus  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tacitus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

56120BKDola la RomaMwanahistoriaMwanasiasa

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Gesi asiliaVita ya Maji MajiNdovuAli Hassan MwinyiVitenzi vishirikishi vikamilifuMazingiraPesaUandishi wa inshaFamiliaShetaniKiunguliaMjombaMji mkuuDawa za mfadhaikoMbooKitenzi kishirikishiUgonjwa wa kuharaKunguniNembo ya TanzaniaMahakamaHoma ya matumboUchimbaji wa madini nchini TanzaniaUfahamuWilaya ya KilindiMillard AyoMohamed HusseinOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaDubaiThe MizTelevisheniMandhariNapoleon BonaparteKumaItikadiAsidiJihadiAlhamisi kuuHistoria ya UislamuKisimaNzigeMohammed Gulam DewjiNevaNgono zembeKiini cha atomuWhatsAppMsibaAina za manenoMkoa wa RukwaKitabu cha ZaburiOrodha ya Marais wa BurundiNguruweMfumo wa upumuajiOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuMsengeFigoAsiaWamasoniRayvannyKhadija KopaKata za Mkoa wa Dar es SalaamUmoja wa MataifaBinadamuUturukiMapinduzi ya ZanzibarAdolf HitlerInshaAngahewaMapambano ya uhuru TanganyikaOrodha ya nchi za AfrikaRadiPonografiaBikira MariaNuru InyangeteBiashara ya watumwaUtoaji mimbaKondomu ya kike🡆 More