Mkoa Wa Sanaag

Sanaag (kwa Kisomali: Sanaag, kwa Kiarabu: سناج) ni mkoa (gobol) uliopo kaskazini mwa jimbo la Khatumo, ni kati ya mikoa inayojitegemea kiutawala ndani ya Somalia ingawa inagombaniwa na Somaliland na Puntland.

Mkoa Wa Sanaag
Sanaag katika ramani ya Khatumo.
Mkoa Wa Sanaag
Mlima Daallo, Sanaag.

Sanaag ina pwani ndefu inayoangalia Ghuba ya Aden kwa upande wa kaskazini, na imepakana na mikoa ya Woqooyi Galbeed, Togdheer, Sool na Bari

Mji mkuu wake ni Erigavo.

Tanbihi

Mkoa Wa Sanaag  Makala hii kuhusu maeneo ya Somalia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Sanaag kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

JimboKaskaziniKhatumoKiarabuKisomaliMkoaPuntlandSomaliaSomaliland

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Historia ya WokovuFonolojiaMpwaKhadija KopaKadi ya adhabuNgiriJohn Raphael BoccoMkoa wa MwanzaKiini cha atomuMsumbijiVitendawiliWiktionaryMawasilianoMalaika27 MachiPesaMkoa wa ManyaraMkoa wa KigomaAina ya damuOrodha ya makabila ya TanzaniaMungu ibariki AfrikaNyanda za Juu za Kusini TanzaniaTaasisi ya Taaluma za KiswahiliKataMkoa wa DodomaKupatwa kwa JuaTelevisheniJamhuri ya Watu wa ChinaChuo Kikuu cha Dar es SalaamRohoHafidh AmeirKadi za mialikoJumaAunt EzekielShengKisasiliWanyakyusaNdoa katika UislamuMariooUchawiUbatizoMtume PetroHistoria ya uandishi wa QuraniUkatiliUbakajiDhamiriHedhiJokate MwegeloMacky SallOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaMillard AyoIndonesiaOrodha ya MiakaMisriShambaKigoma-UjijiShinaSheriaTwigaUbuyuMtende (mti)NileOrodha ya majimbo ya MarekaniOrodha ya miji ya Afrika KusiniUhuru wa TanganyikaTausiBendera ya KenyaDawa za mfadhaikoKiunzi cha mifupaWachaggaMaishaHijabuAlasiri🡆 More