Rio Branco ni jina la mji mkuu wa jimbo la Acre katika Brazil.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 300,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 153 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Rio Branco | |
Majiranukta: 9°58′29″S 67°48′36″W / 9.97472°S 67.81000°W | |
Nchi | Brazil |
---|---|
Kanda | North |
Jimbo | Acre |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 305,731 |
Tovuti: www.riobranco.ac.gov.br |
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Rio Branco kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Rio Branco, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.