Queen ni albamu ya kwanza ya bendi Queen, ambayo ilitolewa mnamo mwezi wa Julai katika mwaka wa 1973.
Ilirekordiwa Trident Studios na De Lane Lea Music Centre huko London. Watayarishaji walikuwa John Anthony, Roy Thomas Baker na Queen.
Queen | |||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Studio album ya Queen | |||||||||||
Imetolewa | 13 Julai 1973 | ||||||||||
Aina | Rock | ||||||||||
Urefu | 38:36 | ||||||||||
Lebo | EMI (Ulaya) Parlophone (Ulaya) Elektra Records (Marekani) Hollywood Records (Marekani) | ||||||||||
Mtayarishaji | John Anthony, Roy Thomas Baker, Queen | ||||||||||
Wendo wa albamu za Queen | |||||||||||
|
Nyimbo tano ziliandikwa na Freddie Mercury, nyimbo nne ziliandikwa na Brian Mei, na wimbo mmoja uliandikwa na Roger Taylor. Wimbo "Doing All Right" uliandikwa na Brian Mei na Tim Staffel, memba wa bendi Smile.
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Queen (albamu) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Queen (albamu), which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.