Pongo

Spishi 2:

Pongo
Dume la pongo kusi (kulungu) (Tragelaphus s. sylvaticus)
Dume la pongo kusi (kulungu)
(Tragelaphus s. sylvaticus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Bovinae (Wanyama wanaofanana na ng'ombe)
Jenasi: Tragelaphus (Nyala, pongo na tandala)
de Blainville, 1816
Ngazi za chini

Msambao wa pongo
Msambao wa pongo

Pongo, kulungu au mbawala (Kiing. bushbuck) ni wanyama wa Afrika wa jenasi Tragelaphus katika familia Bovidae ambao wanafanana na Tandala.

Spishi

Zamani nususpishi 40 zilitofautishwa, lakini utafiti wa ADN wa sampuli nyingi umeonyesha kwamba kuna vikundi 19. Vikundi hivyo viliungana katika nususpishi mbili. Siku hizi zinachukuliwa kama spishi tofauti. Wanasayansi wengine wanatambua spishi nane tofauti, lakini hii bado inabishaniwa.

Picha

Pongo  Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pongo kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wiki: WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KaswendeKinembe (anatomia)MizimuVivumishi vya -a unganifuMatumizi ya LughaWilaya ya TemekeUpinde wa mvuaVielezi vya idadiPaul MakondaSintaksiChristina ShushoUkimwiOrodha ya Marais wa MarekaniGoba (Ubungo)UjimaKamusi ya Kiswahili sanifuOrodha ya milima mirefu dunianiUtoaji mimbaLugha za KibantuMkoa wa Dar es SalaamHoma ya matumboUsafi wa mazingiraSentensiGeorDavieHafidh AmeirMajira ya baridiMkoa wa MorogoroKidole cha kati cha kandoAzam F.C.PamboMatendeTendo la ndoaJohn Samwel MalecelaBawasiriHedhiMkoa wa PwaniKhadija KopaTarakilishiCristiano RonaldoKishazi tegemeziSakramentiVipimo asilia vya KiswahiliMazingiraWabunge wa kuteuliwaMwanzo (Biblia)KitenziAbrahamuFasihiNairobiWazigulaMwanza (mji)Asili ya KiswahiliUtamaduni wa KitanzaniaJohn MagufuliOrodha ya makabila ya TanzaniaFamiliaHistoria ya WasanguWanyamweziKupatwa kwa JuaKukuSadakaMfumo wa JuaJamhuri ya Watu wa ZanzibarOrodha ya mikoa ya Tanzania na Pato la TaifaWilaya ya MeruBaraChuo Kikuu cha Dar es SalaamMkoa wa KageraMusaUzalendoIyungaUfilipinoUtumbo mwembambaVielezi🡆 More