Oscar Fingal O'Flahertie Wills Wilde (Oktoba 16, 1854 – Novemba 30, 1900) alikuwa mshairi wa Ireland na pia mwandishi wa maigizo ya vitabu.
Baada ya kuandika sana katika miaka ya 1880 alikuwa miongoni mwa waandishi maarufu sana jijini London katika miaka ya 1890.
Amekuwa akikumbukwa sana kutokana na kuandika maigizo mengi pamoja na kuwa na misemo mizuri. Pia anakumbukwa sana kutokana na kazi yake iliyojulikana kama The Picture of Dorian Gray.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Oscar Wilde kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Oscar Wilde, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.