Msafsafi

Misafsafi (kutoka Kiarabu: صفصاف; Kilatini: Salix) ni familia ya miti fulani imeayo kando ya maji mengi katika Nusudunia ya Kaskazini.

Msafsafi
(Salix spp.)
Picha ya Msafsafi mweupe
Picha ya Msafsafi mweupe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Malpighiales (Mimea kama mwenda-usiku)
Familia: Salicaceae (Mimea iliyo na mnasaba na msafsafi)
Jenasi: Salix (Misafsafi)
L.

Misafsafi inayojulikana sana ni Msafsafi wa Babeli (Salix babylonica) kutoka Uchina na Msafsafi Mweupe (Salix alba) kutoka Ulaya.

Spishi

Salix, Msafsafi (Willow)

Msafsafi  Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Msafsafi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

KiarabuKilatiniMitiUchinaUlaya

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

ShambaMkwawaFisiSensaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziKongoshoUhakiki wa fasihi simuliziBonde la Ufa la Afrika ya MasharikiAgano la KaleFani (fasihi)KiunguliaSakramentiSiafuWagogoVivumishi vya kuoneshaOrodha ya majimbo ya MarekaniMivighaAla ya muzikiMoscowUtoaji mimbaMiundombinuPesaKiazi cha kizunguMmeaKupatwa kwa JuaSoko la watumwaMahindiSitiariInsha za hojaMtakatifu MarkoMaudhui katika kazi ya kifasihiImaniMkoa wa LindiIfakaraUsafi wa mazingiraPemba (kisiwa)TafsiriMziziMilanoMandhariKamusi za KiswahiliNusuirabuViwakilishiHistoria ya AfrikaUmoja wa MataifaKukuJichoVihisishiUbungoDhamiraLakabuvvjndMapambano kati ya Israeli na PalestinaUturukiDawatiRamaniAndalio la somoMatiniUNICEFUandishi wa inshaKitenzi kishirikishiUgonjwa wa uti wa mgongoOrodha ya milima ya TanzaniaHurafaHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoWilaya ya Nzega VijijiniKishazi tegemeziMazungumzoMagonjwa ya kukuAli Hassan MwinyiWema SepetuBawasiriKata🡆 More