Mary Chapin Carpenter

Mary Chapin Carpenter (alizaliwa 21 Februari 1958) ni mwanamuziki wa Marekani.

Carpenter alitumia miaka kadhaa kuimba katika vilabu vya Washington, D.C., kabla ya kusaini mwishoni mwa miaka ya 1980 na Columbia Records. Albamu ya kwanza ya Carpenter, 1987 Hometown Girl, haikutoa nyimbo zozote za maigizo.

Mary Chapin Carpenter
Mary Chapin Carpenter

Alifanikiwa kutoa nyimbo miaka ya 1989 kupitia State of the Heart na Shooting Straight in the Dark miaka ya 1990. Alifanikiwa kushinda tuzo tano za Grammy Awards kati ya kumi na nane alizochaguliwa kushiriki.

Marejeo

Mary Chapin Carpenter  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mary Chapin Carpenter kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

1958198721 FebruariMarekaniMwanamuzikiWashington, D.C.

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Ngono zembeMkoa wa DodomaVivumishi vya kumilikiRisalaMofimuKanisa KatolikiWaluguruBruneiKamusi za KiswahiliMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiBidiiMimba za utotoniUjimaMatumizi ya LughaRushwaLakabuSoko la watumwaUnyagoKidole cha kati cha kandoMbwana SamattaVisakaleBiblia ya KikristoMkoa wa MaraKarafuuNdege (mnyama)PapaKukiMizimuBabeliPasakaSodomaHafidh AmeirMsokoto wa watoto wachangaUsafi wa mazingiraMagharibiLiverpoolMandhariSakramentiHistoria ya Kanisa KatolikiUKUTAShambaPunda miliaKiarabuHifadhi ya SerengetiMbooInjili ya MarkoRicardo KakaFasihi andishiMadawa ya kulevyaUlayaKipazasautiOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaKondomu ya kikeKiboko (mnyama)RupiaOrodha ya Marais wa TanzaniaBaruaOrodha ya nchi za AfrikaNdovuHuduma ya kwanzaNamba tasaUkooKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniFigoHistoria ya WapareKilimoMwanaumeRayvannyIdi AminUkabaila🡆 More