Grammy Awards au Tuzo za Grammy (awali iliitwa Gramophone Awards)—au Grammys—hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Sciences ya nchini Marekani kwa ajili ya kazi zilizopata mafanikio makubwa katika soko la muziki.
Sherehe hizi za ugawaji wa tuzo hushirikisha wasanii mashuhuri na wale machipukizi, na baadhi ya tuzo zao huwa maarufu na huonyeshwa katika matelevisheni mengi nchi nzima.
Grammy Awards | |
Hutolewa kwa ajili ya | Kufanya vizuri katika soko la muziki |
Hutolewa na | NationalARAAS |
Nchi | Marekani |
Imeanza kutolewa mnamo | 1958 |
Tovuti rasmi |
---|
Makundi makuu ya au jamii kuu za aina ya muziki ni nne.
Kigezo:Soko la muziki
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Grammy Awards, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.