Elizabeth Woolridge Grant (anajulikana kwa jina lake la kisanii kama Lana Del Rey; alizaliwa Juni 21, 1985) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Marekani.
Lana Del Rey | |
---|---|
Lana Del Rey, mnamo 2019. | |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Elizabeth Woolridge Grant |
Amezaliwa | Juni 21 1985 |
Kazi yake | Mwimbaji |
Ala | Sauti |
Miaka ya kazi | 2005-hadi leo |
Studio | Interscope Records |
Tovuti | Lana Del Rey signature.png |
Yeye ni mpokeaji wa tuzo mbalimbali, zikiwa ni pamoja na tuzo mbili za Brit Awards, tuzo mbili za MTV Europe Music Awards, na tuzo moja ya Satellite Award, pamoja na uteuzi wa tuzo sita za Grammy Awards na tuzo ya Golden Globe. Variety ilimtuza Hitmakers Awards kwa kuwa "mmoja wa waimbaji-watunzi wa nyimbo wenye ushawishi mkubwa zaidi wa karne ya 21."
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lana Del Rey kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Lana Del Rey, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.