Lugha Za Kiaustro-Asiatiki

Lugha za Kiaustro-Asiatiki ni familia ya lugha ambazo huzungumzwa katika nchi za Asia ya Kusini-Mashariki.

Katika familia hiyo kuna lugha 168 zenye wasemaji takriban milioni 100. Lugha za Kiaustro-Asiatiki zenye wasemaji wengi mno ni Kivietnam na Kikhmer ambazo moja ni lugha rasmi nchini Vietnam na nyingine nchini Kamboja.

Lugha Za Kiaustro-Asiatiki
Uenezaji wa lugha za Kiaustro-Asiatiki
Lugha Za Kiaustro-Asiatiki Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kiaustro-Asiatiki kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AsiaKambojaKivietnamVietnam

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mkuu wa wilayaUchumiKipindupinduOrodha ya wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoChristopher MtikilavvjndMagharibiUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020IntanetiAgano JipyaMkoa wa MorogoroDivaiDoto Mashaka BitekoC++Wilaya za TanzaniaNathariMbwana SamattaMichael JacksonNomino za pekeeMaambukizi ya njia za mkojoHistoria ya WapareMnara wa BabeliGoba (Ubungo)Lugha za KibantuUkristo nchini TanzaniaWachaggaMfumo wa Msimbo wa Posta TanzaniaKukuUpendoDiniSheriaMahakamaTashihisiTanganyika African National UnionMuda sanifu wa duniaOrodha ya milima ya AfrikaMaudhuiHadithiUkwapi na utaoHifadhi ya mazingiraWaluguruNgamiaKutoa taka za mwiliVitenzi vishiriki vipungufuSadakaP. FunkUtumbo mwembambaNomino za jumlaMkoa wa NjombeCleopa David MsuyaSimba (kundinyota)BawasiriLigi Kuu Tanzania BaraMadawa ya kulevyaDiglosiaMazungumzoJoseph ButikuBenjamin MkapaSaidi Salim BakhresaJichoKabilaFonolojiaMunguMethaliVivumishi vya kuoneshaKukiKishazi tegemeziMkoa wa KataviKomaMafumbo (semi)WashambaaLahaja za Kiswahili🡆 More