Kamusi Awali Ya Sayansi Na Tekinologia

KAST ni kifupi chake cha Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia iliyoandaliwa na wataalamu wa TUKI na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 1995.

Kamusi hii inakusanya maneno ya kisayansi na ya kiteknolojia kwa utaratibu ufuatao:

Mwishowe kuna faharasa ya Kiingereza inayoweza kutumiwa kama kamusi ndogo ya Kiingereza-Kiswahili ya maneno ya kisayansi.

Kati ya kamusi za Kiswahili hii ni hatua kubwa mbele katika ukuzaji wa Kiswahili hata ikionyesha bado mapengo na kasoro mbalimbali.

Hali halisi kuna kiasi kikubwa cha maneno yaliyokusanywa hapa ambayo hayatumiwi tena.

Marejeo

  • Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia (KAST). Dar es Salaam, Tanzania: Ben & Co. Ltd., 1995.

Viungo vya Nje

Tags:

Chuo Kikuu cha Dar es SalaamTUKI

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Meta PlatformsMalariaMwenge wa UhuruOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaImaniKatibaOrodha ya milima ya TanzaniaMafua ya kawaidaBenki ya DuniaNileVitenzi vishirikishi vikamilifuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaManchester United F.C.UtumwaKitunda (Ilala)Agano la KaleSikioUtoaji mimbaKenyaSarufiYombo VitukaHistoria ya UislamuJamhuri ya Watu wa ZanzibarMvua ya maweBungeKinjikitile NgwaleVidonda vya tumboAnwaniBiashara ya watumwaWilaya ya UbungoZama za ChumaDivaiNusuirabuMpira wa kikapuJohn MagufuliLady Jay DeeDodoma (mji)KisononoMaeneo ya Kihistoria ya Kitaifa ya TanzaniaHifadhi ya Taifa ya NyerereUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMarie AntoinetteKata (maana)Chanika (Ilala)Barua rasmiMsamiatiAlama ya barabaraniMazingiraWazigulaFasihiVivumishi vya urejeshiViwakilishi vya sifaUfugaji wa kukuMahakama ya TanzaniaUsultani wa ZanzibarMaktabaMitume na Manabii katika UislamuOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaBibi Titi MohammedMtandao wa kijamiiMuda sanifu wa duniaIndonesiaBurundiBawasiriVitendawiliMafumbo (semi)Chuo Kikuu cha PwaniKaaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaMkoa wa Unguja Mjini MagharibiMfumo wa mmeng'enyo wa chakula🡆 More