Jeshi La Ardhi

Jeshi la ardhi ni mkono wa jeshi la nchi unaojumlisha vikosi vyote vilivyo tayari kupigania maadui kwenye nchi kavu, tofauti na mikono mingine inayoshughulika kazi ya ulinzi wa taifa baharini (jeshi la majini) au hewani (jeshi la anga).

Jeshi La Ardhi
Askari wa jeshi la ardhi

Watu kwenye jeshi la ardhi huitwa askari au wanajeshi. Hupangwa kwa vikosi mbalimbali wakitumia silaha na vifaa kama vile bunduki, mizinga, vifaru, helikopta na mengine.

Tags:

JeshiJeshi la angaJeshi la majiniNchi kavuUlinzi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KisimaJipuVivumishi vya kuoneshaMwarobainiMfumo katika sokaMuhammadKuchaVirusi vya UKIMWIKassim MajaliwaKilimoWaheheKipindupinduAina za udongoNguruweKiraiMatiniPasakaTendo la ndoaAdhuhuriUsawa wa kijinsiaNgono KavuJidaSayansiUkabailaClatous ChamaNathariHistoria ya TanzaniaRitifaaPikipikiKinyongaAurora, ColoradoKichomi (diwani)Lugha za KibantuWanyamboMjasiriamaliSamia Suluhu HassanRamaniTupac ShakurUzalendoEdward SokoineOrodha ya viwanja vya michezo TanzaniaUfufuko wa YesuMichael JacksonVivumishi vya urejeshiKen WaliboraItifakiKiunguliaHektariParisMawasilianoMziziShirika la Reli TanzaniaWasukumaIsraeli ya KaleBinadamuMtakatifu PauloVitenzi vishiriki vipungufuNomino za kawaidaBaruaPopoHedhiMwakaSaida Karoli13Chombo cha usafiri kwenye majiUislamu kwa nchiBurundiLisheKata za Mkoa wa Dar es SalaamBilioniMweziStephen WasiraKiswahiliKitenzi kikuu kisaidiziKonsonantiAsili ya KiswahiliMaradhi ya zinaa🡆 More