Jimbo la Gombe liko kaskazini mwa Nigeria, ni mojawapo ya majimbo 36 ya nchi hii; mji mkuu wake ni Gombe.
Jimbo la Gombe Jina la Utani la Jimbo: Mkufu katika Savannah | ||
Mahali lililoko | ||
---|---|---|
Takwimu | ||
Gavana (Orodha) | Mohammed Danjuma Goje (PDP) | |
Tarehi lilipoanzishwa | 1 Oktoba 1996 | |
Mji mkuu | Gombe | |
Eneo | 18,768 km² Kuorodheshwa-21 | |
Idadi ya Watu 2006 makadirio | Limeorodheshwa nambari 33 2,353,000 | |
GDP (PPP) -Jumla -Per Capita | 2007 (kadirio) $ 2.50 bilioni $1,036 | |
ISO 3166-2 | NG-GO |
Jimbo la Gombe, ambalo jina lake la utani ni 'Mkufu katika Savannah', liliundwa Oktoba 1996 kutoka katika sehemu ya kale ya Jimbo la Bauchi na serikali ya kijeshi ya Abacha. Jimbo hili lina ukubwa wa eneo la 20,265 km ² na jumla ya idadi ya watu karibu 2,353,000 kulingana na 2006. Kati ya idadi yote ya watu, takriban 7.8% ni wameambukizwa HIV
Gombe imegawanywa katika Maeneo ya Serikali za Mitaa takribani kumi na moja. Nayo ni:
|
|
|
Wakaazi wa Jimbo la Gombe ni haswa watu wa kabila la Fulani. [1]
Abia | Abuja Federal Capital Territory | Adamawa | Akwa Ibom | Anambra | Bauchi | Bayelsa | Benue | Borno | Cross River | Delta | Ebonyi | Edo | Ekiti | Enugu | Gombe | Imo | Jigawa | Kaduna | Kano | Katsina | Kebbi | Kogi | Kwara | Lagos | Nasarawa | Niger | Ogun | Ondo | Osun | Oyo | Plateau | Rivers | Sokoto | Taraba | Yobe | Zamfara |
10°15′N 11°10′E / 10.250°N 11.167°E
Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Gombe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Jimbo la Gombe, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.