Arseni Wa Korfu

Arseni wa Korfu (pia: Arseni wa Kerkyra; alifariki 959 hivi) alikuwa askofu wa kisiwa hicho cha Ugiriki aliyewajibika kuchunga kundi lake na kukesha usiku katika sala.

Inasemekana alikuwa kwanza Myahudi kutoka Palestina, ingawa alizaliwa Konstantinopoli.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Januari.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Arseni Wa Korfu  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.

Tags:

959AskofuKisiwaKundiSalaUgirikiUsiku

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Tendo la ndoaNomino za dhahaniaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaVita ya Maji MajiMajiMkoa wa Dar es SalaamKunguruNeemaKondomu ya kikeZuhura YunusUnyanyasaji wa kijinsiaIntanetiDaudi (Biblia)HektariTunu PindaAdolf HitlerFutiAfande SeleManchester CityViwakilishi vya urejeshiLughaKitubioVita Kuu ya Kwanza ya DuniaGhanaUaRedioNamba ya mnyamaLucky DubeMeta PlatformsJohn MagufuliUchekiMkanda wa jeshiAir TanzaniaUsiku wa PasakaWameru (Tanzania)Angkor WatUtamaduniUgaidiTanganyikaKilimoMbwana SamattaVidonda vya tumboNabii EliyaHarusiMajina ya Yesu katika Agano JipyaUmoja wa MataifaVitenzi vishirikishi vikamilifuMsitu wa AmazonTanzania Breweries LimitedOrodha ya miji ya Afrika KusiniFasihi andishiMsengeWenguKifo cha YesuTajikistanUlayaTashdidiDawa za mfadhaikoDubaiKalenda ya KiyahudiDhamiriLigi Kuu Uingereza (EPL)KiswahiliAsiaAbedi Amani KarumeItifakiManiiRaiaChakulaItaliaKipindi cha PasakaKalenda ya GregoriSenegalIsimujamiiHassan bin OmariKuma🡆 More