Antonio Rüdiger (alizaliwa 3 Machi 1993) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama beki wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Chelsea FC na timu ya taifa ya Ujerumani.
Jinsia | mume |
---|---|
Nchi ya uraia | Ujerumani |
Nchi anayoitumikia | Ujerumani |
Jina katika lugha mama | Antonio Rüdiger |
Jina halisi | Antonio |
Jina la familia | Rüdiger |
Tarehe ya Kuzaliwa | 3 Machi 1993 |
Mahali alipozaliwa | Berlin |
Ndugu | Sahr Senesie |
Lugha ya asili | Kijerumani |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kijerumani |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | centre-back, Beki |
Muda wa kazi | 2011 |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Namba ya Mchezaji | 22 |
Ameshiriki | 2017 FIFA Confederations Cup, Kombe la Dunia la FIFA 2018, UEFA Euro 2020, Kombe la Dunia la FIFA 2022 |
Ligi | 3. Liga, Bundesliga, Seria A, Ligi Kuu Uingereza, LaLiga |
Tovuti | http://www.antonio-ruediger.com/ |
Alianza kazi yake akiwa na klabu ya VfB Stuttgarta katika ligi ya Bundesliga.
Mwaka 2015 alijiunga na klabu ya AS Roma, awali kwa mkopo na mwaka mmoja baadaye kwa ada ya milioni 9.
Alisainiwa na Chelsea mwaka 2017 kwa wastani wa £ 27 milioni.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Antonio Rüdiger kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Antonio Rüdiger, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.