Berlin ni mji mkuu, pia mji mkubwa na jimbo la kujitawala la Ujerumani ikiwa na wakazi zaidi ya 3.8 milioni. Berlin iko mashariki mwa Ujerumani, palipo mto unaoitwa Spree.
Berlin | |||
| |||
Mahali pa mji wa Berlin katika Ujerumani | |||
Majiranukta: 52°30′2″N 13°23′56″E / 52.50056°N 13.39889°E | |||
Nchi | Ujerumani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Berlin | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 3,878,100 (2,023) | ||
Tovuti: www.berlin.de |
Berlin ilianza kukua kama mji mkuu wa Prussia, ikawa mji mkuu wa Ujerumani tangu kuundwa kwa Dola la Ujerumani mwaka 1871. Kati ya miaka 1949 na 1991 ilikuwa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani.
Kati ya miaka 1961 na 1989 mji ulitengwa na ukuta kati ya sehemu za mashariki na magharibi. Baada ya kuungana tena kwa Wajerumani mnamo 1990, Berlin ikawa tena mji mkuu wa Ujerumani yote.
Baden-Württemberg • Bavaria (Bayern) • Berlin • Brandenburg • Bremen • Hamburg • Hesse (Hessen) • Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) • Saksonia Chini (Niedersachsen) • Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) • Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) • Saar (Saarland) • Saksonia (Sachsen) • Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) • Schleswig-Holstein • Thuringia (Thüringen) |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Berlin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Berlin, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.