Sir Andre Konstantin Geim (amezaliwa 21 Oktoba, 1958) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi aliyeshika uraia wa Uingereza na Uholanzi.
Hasa amechunguza grafini. Mwaka wa 2010, pamoja na Konstantin Novoselov, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Mwaka wa 2012 alipewa cheo cha "Sir" cha Uingereza.
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Andre Geim kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Andre Geim, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.