Uchaguzi Wa Rais Wa Marekani, 2016

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka 2016 ulikuwa wa 58 katika historia ya Marekani.

Ulifanywa Jumanne tarehe 8 Novemba.

Uchaguzi Wa Rais Wa Marekani, 2016
Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.

Upande wa "Republican Party", mgombea Donald Trump (pamoja na kaimu wake Mike Pence) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Hillary Clinton (pamoja na kaimu wake Tim Kaine).

Matokeo

Wachaguzi wakuu walipiga kura tarehe 19 Desemba na kuthibitisha nafasi ya Trump kama Rais wa Marekani kwa miaka 2017-2020. Trump alipata wapiga kura 304, na Clinton 227, wakati wachaguzi wakuu wengine saba walikuwa upande wa watu wasiogombea.

Tags:

8 NovembaHistoriaJumanneMarekaniTarehe

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

PeasiSentensiOrodha ya mikoa ya Tanzania na MaendeleoLatitudoSayansiMkoa wa ShinyangaVivumishi vya idadiMacky SallTaswira katika fasihiKorea KusiniOrodha ya Marais wa MarekaniSumakuYuda IskariotiMfumo wa JuaLugha za KibantuSiku tatu kuu za PasakaAKhadija KopaMziziKaramu ya mwishoHijabuKuhaniMweziTwigaBinamuHadithiSkautiSheriaManchester CityMkwawaMaadiliKongoshoUgandaSteven KanumbaTetekuwangaOrodha ya watu maarufu wa TanzaniaAntibiotikiUnyevuangaNabii IsayaPesaJumaMamba (mnyama)Maambukizi nyemeleziMwenyekitiBoris JohnsonOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaLugha ya taifaKitenzi kikuu kisaidiziBunge la TanzaniaSiasaSikukuuKiswahiliMajiIsaKilwa KivinjeKamusi za KiswahiliAfyaDodoma (mji)TashtitiUkomboziMbossoVirusiUtegemezi wa dawa za kulevyaAbby ChamsOrodha ya maziwa ya TanzaniaOrodha ya wanamuziki wa AfrikaMkoa wa RuvumaKichochoVirusi vya UKIMWIPasaka ya KikristoOrodha ya miji ya TanzaniaLigi Kuu Uingereza (EPL)🡆 More