Hadithi Soga

Soga ni utanzu wa fasihi simulizi unaosimulia matukio fulani kwa makusudi ya kusisimua.

Utanzu huo hutumika pia kama masimulizi yanayoibua utani kuhusu jamii fulani . Pia ni hadithi zinazokusanya ucheshi ndani yake na mara nyingi hadithi hizo husababisha mtu kutabasamu pindi anaposimuliwa.

Mara nyingi soga huwa hadithi ndogondogo zilizokusanya mzaha lakini wenye mafunzo muhimu kwa binadamu.

Marejeo

Hadithi Soga  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Soga (hadithi) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Fasihi simuliziHadithiJamiiUcheshiUtaniUtanzu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

ChuraMotoJuxMkoa wa ArushaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaKibodiOrodha ya shule nchini TanzaniaViwakilishi vya urejeshiMaajabu ya duniaVirusiYoung Africans S.C.Afrika Mashariki 1800-1845TausiKifua kikuuJohn Raphael BoccoKondoo (kundinyota)WahayaDuniaShirikisho la Afrika MasharikiBarua pepeMkoa wa Unguja Mjini MagharibiKadi ya adhabuJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaMbaraka MwinsheheMwanzoKiini cha atomuTreniUhuru wa TanganyikaMzabibuMtume PetroTafsiriWaheheMkoa wa TangaUandishi wa ripotiOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaOrodha ya vitabu vya BibliaHistoriaNdiziOrodha ya Magavana wa TanganyikaUti wa mgongoRwandaMkondo wa umemeNyanda za Juu za Kusini TanzaniaTanganyika (ziwa)Kombe la Mataifa ya AfrikaBaraAli KibaMzeituniWayao (Tanzania)Mkoa wa KataviSanaa za maoneshoNyati wa AfrikaSikioRohoUshogaSimba S.C.MsalabaPasakaBunge la Afrika MasharikiUoto wa Asili (Tanzania)KitenziUnju bin UnuqHistoria ya KanisaKumaNomino za wingiNafsiImaniJogooMfumo wa mzunguko wa damuWengu🡆 More