Sayansi Ya Kilimo

Sayansi ya kilimo (kwa Kiingereza: agricultural science) ni tawi la biolojia linalojumuisha sehemu za elimu mbalimbali zinazotumiwa katika kilimo.

Sayansi Ya Kilimo
Mtaalamu wa kilimo kazini kwenye shamba

Mara nyingi hugawiwa katika elimu ya kilimo cha mimea, elimu ya mifugo na uchumi wa kilimo. Tiba ya mifugo mara nyingi haihesabiwi humo.

Sehemu za sayansi ya kilimo

Sayansi Ya Kilimo 
Mtaalamu wa elimu ya udongo kazini.
Sayansi Ya Kilimo 
Ufugaji wa kisasa unategemea ushauri wa kisayansi.

Sayansi ya kilimo ni pamoja na utafiti na maendeleo ya:

  • Ukuzaji wa mimea na jenetikia
  • Magonjwa ya mimea
  • Kilimo cha bustani
  • Sayansi ya udongo
  • Entomolojia (elimu wadudu)
  • Mbinu za uzalishaji (kwa mfano umwagiliaji, matumizi ya mbolea)
  • Kuboresha uzalishaji wa kilimo kwa viwango na ubora (kwa mfano, uteuzi wa mazao na wanyama wanyamapori vinavyovumilia ukame, kukuza dawa mpya, teknolojia ya kuboresha mavuno)
  • Kupunguza athari za magugu, wadudu, vimelea vya magonjwa, nematodi kwenye mifumo ya uzalishaji wa mazao au mifugo.
  • Kubadilisha bidhaa asilia kuwa bidhaa zitumiwazo na wanunuzi wa mwisho (kwa mfano, uzalishaji, uhifadhi, na ufungaji wa bidhaa za maziwa)
  • Kinga dhidi ya ya athari mbaya za mazingira (kwa mfano, uharibifu wa udongo, kushughulika taka)
  • Ekolojia ya uzalishaji
  • Uzalishaji wa chakula na mahitaji ya kimataifa, kwa kuzingatia maendeleo katika nchi wazalishaji wakuu, kama vile China, India, Brazil, Marekani na Umoja wa Ulaya.
  • Sayansi anuwai zinazohusiana kilimo na mazingira (kwa mfano sayansi ya udongo, taaluma ya hali ya hewa kwa kilimo); biolojia ya mazao ya kilimo na mifugo; nyanja kama uchumi wa kilimo na sosholojia ya vijijini; taaluma mbali mbali zilizojumuishwa katika uhandisi wa kilimo.

Wanasayansi mashuhuri wa kilimo

Kujisomea zaidi

    • Agricultural Research, Livelihoods, and Poverty: Studies of Economic and Social Impacts in Six Countries Edited by Michelle Adato and Ruth Meinzen-Dick (2007), Johns Hopkins University Press Food Policy Report
    • Claude Bourguignon, Regenerating the Soil: From Agronomy to Agrology, Other India Press, 2005
    • Pimentel David, Pimentel Marcia, Computer les kilocalories, Cérès, n. 59, sept-oct. 1977
    • Russell E. Walter, Soil conditions and plant growth, Longman group, London, New York 1973
    • Saltini Antonio, Storia delle scienze agrarie, 4 vols, Bologna 1984–89, ISBN 88-206-2412-5, ISBN|88-206-2413-3, ISBN 88-206-2414-1, ISBN 88-206-2415-X
    • Vavilov Nicolai I. (Starr Chester K. editor), The Origin, Variation, Immunity and Breeding of Cultivated Plants. Selected Writings, in Chronica botanica, 13: 1–6, Waltham, Mass., 1949–50
    • Vavilov Nicolai I., World Resources of Cereals, Leguminous Seed Crops and Flax, Academy of Sciences of Urss, National Science Foundation, Washington, Israel Program for Scientific Translations, Jerusalem 1960
    • Winogradsky Serge, Microbiologie du sol. Problèmes et methodes. Cinquante ans de recherches, Masson & c.ie, Paris 1949

Marejeo

Viungo vya nje

Tags:

Sayansi Ya Kilimo Sehemu za sayansi ya kilimoSayansi Ya Kilimo Wanasayansi mashuhuri wa kilimoSayansi Ya Kilimo Kujisomea zaidiSayansi Ya Kilimo MarejeoSayansi Ya Kilimo Viungo vya njeSayansi Ya KilimoBiolojiaElimuKiingerezaKilimoTawi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Wilaya ya NyamaganaWilaya ya MeruAfrika ya Mashariki ya KijerumaniKisononoPesaKiumbehaiMuhammadMohamed HusseiniMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaJiniChuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)NuktambiliViungo vinavyosafisha mwiliKamusi ya Kiswahili sanifuMofolojiaAfrika Mashariki 1800-1845Mkutano wa Berlin wa 1885MbagalaTanzaniaMwakaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaSheriaSilabiAnwaniUtumbo mwembambaUpendoNambaGhanaHistoriaBendera ya KenyaDodoma (mji)Mbweni, KinondoniKichochoUmoja wa MataifaMuungano wa Madola ya AfrikaMfumo wa uendeshajiOrodha ya Watakatifu WakristoAzam F.C.MhandisiP. FunkSoko la watumwaBurundiMazungumzoNomino za jumlaMeridianiOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaKupatwa kwa JuaYouTubeUlumbiFonolojiaAla ya muzikiKito (madini)Orodha ya matajiri wakubwa WaafrikaAli Hassan MwinyiTabainiMilaHadithi za Mtume MuhammadIyumbu (Dodoma mjini)Mtandao wa kompyutaMahindiNdege (mnyama)Chelsea F.C.Lugha ya maandishiMatumizi ya LughaSamakiMungu ibariki AfrikaSemantikiMavaziUbungoKilimoNgano (hadithi)Selemani Said Jafo🡆 More