Montell Jordan (amezaliwa tar.
3 Desemba 1968) ni mwimbaji, mtunzi wanyimbo, na mtayarishaji wa rekodi za muziki kutoka nchini Marekani. Jordan amekuwa msanii wa kujitegemea mkubwa kwenye studio ya Def Soul hadi hapo alipokuja kuondoka kwenye studio hiyo mnamo mwaka wa 2003.
Montell Jordan | |
---|---|
Montell Jordan, mnamo 2008 | |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Montell Du'Sean Barnett |
Amezaliwa | 3 Desemba 1968 Los Angeles, California, Marekani |
Aina ya muziki | R&B, New Jack Swing, Hip hop |
Kazi yake | Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi |
Miaka ya kazi | 1994–mpaka sasa |
Studio | PMP/RAL, Def Soul (1995–2002) Koch (2003–2004) Universal/Fontana (2008) |
Ame/Wameshirikiana na | Shae Jones |
Tovuti | montellmusic.com |
Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Montell Jordan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Montell Jordan, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.