Balıkesir ni jina la mkoa uliopo nchini Uturuki.
Mkoa una mistari ya pwani mbili, ambao ni Bahari ya Marmara na Aegean. Mikoa inayopakana na mkoa huuu ni pamoja na Çanakkale kwa upande wa magharibi, İzmir kusini-magharibi, Manisa kwa upande a kusini, Kütahya kwa upande wa kusini-mashariki, na Bursa kwa upande wa mashariki. Mji mkuu wake ni Balıkesir.
Mkoa wa Balıkesir | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Balıkesir nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Marmara |
Eneo: | 12.496 (km²) |
Kodi ya Leseni: | 10 |
Kodi ya eneo: | 00266******* |
Tovuti ya Gavana | http://www.balıkesir.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/balıkesir |
Mkoa wa Balıkesir umegawanyika katika wilaya 19 (mji mkuu umekoozeshwa):
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Balıkesir kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mkoa wa Balıkesir, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.