Kizamiachaza

H.

Kizamiachaza
Kizamiachaza wa Ulaya
Kizamiachaza wa Ulaya
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Charadriiformes (Ndege kama vitwitwi)
Familia: Haematopodidae (Ndege walio na mnasaba na vizamiachaza)
Jenasi: Haematopus
Linnaeus, 1758
Spishi: ater Vieillot, 1825

bachmani Audubon, 1838
chathamensis Hartert, 1927
finschi G.H. Martens, 1897
fuliginosus Gould, 1845
leucopodus Garnot, 1826
longirostris Vieillot, 1817
† meadewaldoi Bannerman, 1913
moquini Bonaparte, 1856
ostralegus Linnaeus, 1758
palliatus Temminck, 1820
unicolor J.R. Forster, 1844

Vizamiachaza ni ndege wa jenasi Haematopus, jenasi pekee ya familia Haematopodidae. Ndege hawa ni weusi au weusi na weupe na wana domo na macho nyekundu na miguu pinki au myeupe. Huonekana pwani kwa kawaida ambapo hutafuta chakula wakiingiza domo lao kwa matope. Hula wanyamakombe, mwata, nyungunyungu na lava wa wadudu, pengine wanyama ngozi-miiba, kaa na samaki pia. Ndege wanaokula wanyamakombe wana domo lenye ncha nyembamba kama ubapa na hulitumia kulifungua kombe ikikata musuli wa mnyama. Wale wanaokula nyungunyungu wana domo kama msharasi. Hii ni kwa sababu ya uchakavu. Vizamiachaza hutaga mayai 2-4 chini ndani ya tundu ya kina kifupi.


Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

JinaBikiraHekaya za AbunuwasiTarafaNikki wa PiliKupatwa kwa JuaKata za Mkoa wa Dar es SalaamAfrika ya MasharikiMbooLeonard MbotelaKimara (Ubungo)MarekaniUkristo nchini TanzaniaUpendoFasihi simuliziSabatoMkoa wa KataviMkwawaKitenziMsituTungoMaishaUkabailaLady Jay DeeKinyongaNandyMariooZabibuMapenzi ya jinsia mojaMkoa wa KilimanjaroMnururishoSamia Suluhu HassanHistoriaJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaBibliaKifua kikuuNgonjeraIkwetaSwalaAdolf HitlerMkoa wa ArushaMatiniMkoa wa Dar es SalaamMartin LutherAla ya muzikiZuchuUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMshubiriMbwana SamattaPaul MakondaLugha za KibantuViwakilishi vya urejeshiUsafi wa mazingiraTafakuriNguruweMajiSitiariHoma ya mafuaAfrika KusiniUjimaUturukiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKaswendeNg'ombeTreniKiboko (mnyama)Vidonda vya tumboHistoria ya Kanisa KatolikiKihusishiFamiliaAgostino wa HippoKenyaMzabibu🡆 More